Description
Waandishi wanavyuoni wengi wa sasa wamejitahidi na wanaendelea na jitihada hiyo kuuelemisha Umma kuhusu Waislamu hawa na Shia; na kitabu hiki ni miongoni mwa vitabu vingi vilivyoandikwa na wanavyuoni hawa juu ya usahihi wa madhehebu hii.