Description
Kutokana na umuhimu na wajibu wa kila Mwislamu kufuata sheria za Mwenyezi Mungu na Sunna za Mtume wetu, tumeamua kuandika kijitabu hiki ili kiwe ni mwongozo wa kulifikia lengo la kuletwa hapa duniani, lengo hilo si jingine bali ni kumwabudu Mwenyezi Mungu kama anavyotaka na anavyostahiki.