Description
Mwandishi ameyaelezea matukio mbalimbali kwa ufupi na pia akataja kwa kirefu maoni na Imani za Imamu kuhusiana na masuala ya kidini, siasa, na kiuchumi. Zaidi ya hayo, ameyaeleza matukio ya maisha ya Ali kwa umahiri na kwa namna ambayo hayajawahi kuandikwa hapo kabla.