Description
Mwandshi wa kitabu hiki anaelezea kuhusu tapo hili la mwisho (Usalafi). Anaelezea kwa kina maana ya Usalafi (Salafiyyah), ulianzaje na lini, na athari yake kwa Waislamu. Tafadhali ungana naye ili upate kujua yaliyojiri katika historia ya Uislamu.