Description
Kitabu hiki ni mwongozo wa jinsi gani mtu anatakiwa kuwa wakati wa kuomba lolote kutoka kwa Allah (s.w.t). Mwandishi wa kitabu hiki amelezea kwa ufasaha sana falsafa na hekima ya kuomba Dua za kila aina ili mtu apate kufanikiwa lile analoliomba.