Description
Kitabu hiki ni matokeo ya Mikutano iliyofanyika katika miezi Mitukufu ya Raamdhani ambayo Sheikh al-Mufid alisoma Hadith huku akitoa mfululizo wa mfuatano wa wapokeaji wa Hadith hizo hadi kwake yeye mweneywe na wanafunzi wake wakaziandika.