Description
Mwandishi wa kitabu hiki amejaribu kufichua siri nyingi zilizomo katika baadhi ya aya za Qur’ani Tukufu na kuweka umuhimu mkubwa katika kuitafakari hii Qur’ani, kwani ni Mwongozo kwa wanadamu wote katika maisha yao ya hapa ulimwenguni na kesho Akhera.