Description
Dhambi ya riba ni miongoni mwa dhambi kubwa. Dhambi hii imeelezwa vyema kabisa katika riwaya na hadithi za Mtume Muhammad (s.a.w), Al-Imam ‘Ali ibn Abi Talib (a.s), Al-Imam Ja’far as-Sadiq (a.s), Al-Imam Musa al-Kadhim (a.s) na Al-Imam Muhammad at-Taqi (a.s).