Description
Kitabu hiki kinazungumzia juu ya uadilifu katika Uislamu hususan ulivyooneshwa na Imam Ali (a.s) katika uhai wake wote. Kama tujuavyo, Imam Ali alikuwa Khalifa wa nne miongoni mwa makhalifa wanne waongofu wanaokubaliwa na ndugu zetu Masunni.