Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo

$ 5

Description

Kitabu hiki ni majibu ya kitabu cha Wahhabi kiitwacho, al-Khututul Aridwa, kilichoandikwa kwa Kiarabu na Sheikh Muhibbudin al-Khatib wa Misr na kutarjumiwa kwa Kiswahili kwa jina ka, Misingi Kimubwa lliyojengwa Dini na Ushia; na kuchapishwa na taasisi ya Kianswari ya Mombasa, Kenya katika mwaka wa 1988.

Additional information

Weight 100 kg
Mwandishi:

Sheikh Abdillahi Nassir