Description
Ndani ya kitabu hiki utasoma kauli mbalimbali zitakazokuelezea kuhusu imani za makundi mawili, kila moja kati ya hayo mawili likijinasibu kwenye Uislamu, huku ikiona kuwa lenyewe pekee ndilo lililo kwenye haki, na jingine liko kwenye upotofu.