Description
Tukiwa katika jitihada za kuhuisha maadili ya Kislamu kwenye ulimwengu unaozama kwenye vurugu za anasa za kidunia na kuashiria kusahaulika kabisa thamani ya maisha ya binadamu ya milele – yaani Akhera – tulifikiria ni juhudi yenye manufaa alau tuchapishe muhtasari wa kitabu hicho.