Description
Kitabu hiki huelezea hitilafu zilizopo baina ya Shia na Sunni kuhusu Mas’ala (mas’ala) ya kifikihi na matendo mengine ya kiibada. Wafuasi wa madhehhebu hizi wamekuwa wakishutumiana na kila upande ukiona upande wa mwenzake kuwa umepotoka.