Description
Watu wamezoea kufuata dini zao kibubusa na huwa hawataki kujishughulisha ili kujua undani wa dini zao. Nao waumini wa Kiislamu walio wengi, hali kadhalika, hawakuweza kuepukana na hali hii, kwani huu ni ukweli ulio wazi kwamba wengi wetu hatuyajui vizuri mafundisho ya Uislamu.