Description
Kutokana na hali hii, mwandishi wa kitabu hiki ameamua kuiangalia upya historia ya Uislamu na kutoa dalili kutoka Qur’ani Tukuu na Sunna na akaonesha wazi kabisa kwamba kuzuru makaburi ni desturi iliyokuwepo tangu zama za Mtukufu Mtume (s.a.w).