Description
Kitabu hiki ni matokeo ya mhadhara uliofanywa na Sayyid Ali al-Husaini al-Milani, ambaye ameandika vitabu vingi kwa njia ya midhalao. Kitabu hiki ni mdahalo wa kistaarabu na wa kielimu ambao ulifuata taratibu zote za midahalo ya kielimu bila ya kuumiza hisia za watu wengine.