Imam Husain (a.s) ni Utu na Kadhia

$ 5

Categories: ,

Description

Mwandishi wa kitabu hiki anatumia kalamu yake kuelezea harakati za Imam Husain (a.s) zilivyoinusuru dini ya Allah na kuwakomboa wanyonge na wanaokandamizwa ulimwenguni pote. Azma yake ni kuendeleza harakati hizo katika ulimwengu huu wa sasa ambao akina Yazid bado wapo na wanaendelea kujitokeza kila wakati.

Additional information

Weight 95 kg
Mwandishi:

Sheikh Hasan Musa al Saffar