Description
Hija ni fursa ya Ummah wa Kiislamu kufikia hali ya Kiibrahim katika sekta ya kisiasa, kijamii, kitamaduni na kiroho. Mwenyezi Mungu amesema: “Hakika Nyumba ya kwanza waliyowekewa watu ni ile iliyoko Makka yenye kubarikiwa na mwongozo kwa walimwengu.” (Sura Aali Imran: 96).